Bangladesh blogger Ananta Bijoy Das hacked to death, 3rd this year
Posted Tuesday May 12, 2015. 7:24 PM
2hold a pen is 2B @ war~Voltaire
Words R, of course, T most powerful drug used by mankind~Kipling
If U wish 2B a writer, write.~Epictetus
Added Monday May 11, 2015. 10:11 AM.
Yoshua Mlango 6
1 Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli; hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.2 Bwana akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.
3 Nanyi mtauzunguka mji huu, watu wote wa vita, mkiuzunguka mji mara moja. Fanya hivi siku sita.
4 Na makuhani saba watachukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume, mbele ya hilo sanduku; na siku ya saba mtauzunguka mji mara saba, nao makuhani watapiga tarumbeta zao.
5 Kisha itakuwa watakapopiga hizo pembe za kondoo waume kwa nguvu, nanyi mtakaposikia sauti ya tarumbeta, watu wote watapiga kelele kwa sauti kuu; na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale, na hao watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele kukabili.
6 Bali Yoshua, mwana wa Nuni, akawaita makuhani, akawaambia, Lichukueni sanduku la agano, tena makuhani saba na wachukue tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana.
7 Naye akawaambia watu, Piteni mbele, mkauzunguke mji, na hao watu wenye silaha na watangulie mbele ya sanduku la Bwana.
8 Basi ikawa Yoshua alipokwisha kusema na watu, wale makuhani saba, wenye kuzichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele za Bwana, wakatangulia, wakazipiga hizo tarumbeta; nalo sanduku la agano la Bwana likawafuata.
9 Wale watu wenye silaha walikwenda mbele ya hao makuhani waliozipiga tarumbeta, na wale waliokuwa nyuma wakalifuata hilo sanduku; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda.
10 Yoshua akawaamuru watu, akasema Msipige kelele, wala sauti zenu zisisikiwe, wala neno lo lote lisitoke kinywani mwenu, hata siku ile nitakapowaamuru kupiga kelele, ndipo mtakapopiga kelele.
11 Basi akalipeleka sanduku la Bwana liuzunguke huo mji, likauzunguka mara moja, kisha wakaenda kambini wakakaa kambini.
12 Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao makuhani wakalichukua sanduku la Bwana.
13 Na wale makuhani saba wakazichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana, wakaendelea wakazipiga tarumbeta; nao watu wenye silaha wakawatangulia, na hao waliokuwa nyuma wakalifuata sanduku la Bwana; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda.
14 Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja, wakarejea kambini; ndivyo walivyofanya siku sita.
15 Ikawa siku ya saba wakaondoka asubuhi na mapema wakati wa mapambazuko, wakauzunguka mji vivyo hivyo mara saba; ila siku hiyo waliuzunguka huo mji mara saba.
16 Hata mara ya saba makuhani walipozipiga tarumbeta, Yoshua akawaambia watu, Pigeni kelele; kwa maana Bwana amewapeni mji huu.
17 Na mji huu utakuwa wakfu kwa Bwana, mji wenyewe na vitu vyote vilivyomo; isipokuwa Rahabu, yule kahaba, ataishi, yeye na watu wote walio pamoja naye nyumbani, kwa sababu aliwaficha hao wapelelezi tuliowatuma.
18 Na ninyi, msikose kujiepusha na kitu kilichowekwa wakfu; msije mkakitwaa kitu kilichowekwa wakfu, baada ya kukiweka wakfu; nanyi hivyo mtayafanya matuo ya Israeli kuwa yamelaaniwa na kuyafadhaisha.
19 Lakini fedha yote, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na chuma, ni vitakatifu kwa Bwana; vitaletwa katika hazina ya Bwana.
20 Basi watu wakapiga kelele, na makuhani wakazipiga tarumbeta; hata ikawa, hapo watu waliposikia sauti ya tarumbeta hao watu wakapiga kelele kwa sauti kuu sana, na ule ukuta wa mji ukaanguka nchi kabisa, hata watu wakapanda juu, wakaingia katika mji, kila mtu akiendelea kukabili mbele; wakautwaa huo mji.
21 Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji, wanaume na wanawake, watoto na wazee, na ng'ombe, na kondoo, na punda, kwa makali ya upanga.
22 Naye Yoshua akawaambia wale wanaume wawili walioipeleleza nchi, Ingieni katika nyumba ya yule kahaba, mkamtoe huyo mwanamke mwenyewe na vitu vyote alivyo navyo, kama mlivyomwapia.
23 Basi wale vijana wapelelezi wakaingia, wakamtoa Rahabu, na baba yake, na mama yake, na ndugu zake, na vitu vyote walivyokuwa navyo, wakawatoa na jamaa zake wote pia; wakawaweka nje ya matuo ya Israeli.
24 Kisha wakauteketeza mji kwa moto, na vitu vyote vilivyokuwa ndani yake; bali fedha, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na vya chuma, wakavitia katika hazina ya nyumba ya Bwana.
25 Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu, yule kahaba, na watu wa nyumba ya baba yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo; naye akakaa kati ya Israeli hata leo; kwa sababu aliwaficha wale wajumbe aliowatuma Yoshua ili kuupeleleza mji wa Yeriko.
26 Naye Yoshua akawaapisha kiapo wakati ule, akasema, Na alaaniwe mbele za Bwana mtu yule atakayeinuka na kuujenga tena mji huu wa Yeriko; ataweka msingi wake kwa kufiliwa na mzaliwa wa kwanza wake, tena atayasimamisha malango yake kwa kufiliwa na mtoto wake mwanamume aliye mdogo.
27 Basi Bwana alikuwa pamoja na Yoshua; sifa zake zikaenea katika nchi ile yote.
Posted Saturday May 9, 2015. 5:34 PM. (Courtesy of WordProject)
R.I.P to everyone who fucked me over, played me, tried me or lied to me, because you're are all dead to me. ~Unknown
Added Friday May 8, 2015. 12:19 PM
Posted Monday May 4, 2015. 5:00PM."They say we are free only to be chained up in poverty..."
NBC News - HOT!
News
Putin Sends Obama an Independence Day Message
Putin said U.S.-Russian relations remained important for solving global crises. The two countries have disagreements over the conflict in Ukraine, defense matters and democracy.
"In his message of congratulations, the Russian President noted that, despite the differences between the two countries, Russian-American relations remain the most important factor of international stability and security," the Kremlin said in a statement.
Putin expressed confidence that Russia and the U.S. could find solutions to the most complicated international issues and meet global threats and challenges together if they based their relationship on the principles of equality and respect for each other's interests, the Kremlin added.
The statement did not provide further details and did not mention Western sanctions imposed over Russia's role in the Ukraine crisis and Moscow's annexation of Crimea peninsula from Ukraine in 2014. The wording of the message was similar to last year's congratulatory message to Obama. Posted Saturday July 4, 2015. 8:48 AM.
Everybody should read an article called "The Clash of Civilizations?" It was one of my readings for the course: Racialization and Ethnicity, Sociology 335, UVIC. The article is by Samuel P. Huntington
And it reads...in part and I quote:
"...Differences in culture and religion create differences over policy issues, ranging from human rights to immigration to trade and commerce to the environment...
...Conflict along the fault line between Western and Islamic civilizations has been going on for 1,300 years...
...the interaction between Islam and the West is seen as a clash of civilizations...
...In East Asia, China has outstanding territorial disputes with most of its neighbors. It has pursued a ruthless policy toward the Buddhist people of Tibet, and it is pursuing an increasingly ruthless policy toward its Turkic-Muslim minority. With the Cold war over, the underlying differences between China and the United States have reasserted themselves in areas such as human rights, trade and weapons proliferation. These differences are unlikely to moderate. A "new cold war," Deng Xaioping reportedly asserted in 1991, is under way between China and America.
The same phrase has been applied to the increasingly difficult relations between Japan and the United States. Here cultural differences exacerbates economic conflict. People on each side allege racism on the other, but at least on the American side the antipathies are not racial but cultural. The basic values, attitudes, behavioral patterns of the two societies could hardly be more different. The economic issues between the United States and Europe are less serious than those between United States and Japan, but they do not have the same political salience and emotional intensity because the differences between American culture and European culture are so much less than those between American civilization and Japanese civilization...
...A world of clashing civilizations, however, is inevitably a world of double standards: people apply one standard to their kin-countries and different standard to others...
...The next world war, if there is one, will be a war between civilizations...
...:the values that are most important in the West are least important worldwide." ...
...Globally the most important torn country is Russia..."
Got 2 r (got to run) Gotta go. (g2r)
And "...For the relevant future, there will be no universal civilization, but instead a world of different civilizations, each of which will have to learn to coexist with the others..." April 26, 2015.







.jpg)




.












































